Mtihani wa 1 wa Shule ya Mt. Maksimiliano, Segerea
Jumamosi, tarehe 17 Novemba 2007, watoto 37 ambao wanataka kujiunga na Shule ya Mt. Maximilano wamefania mtihai yao wa kuingia Darasa la kwanza. Somo la Hesabu na Kingereza tumetumia kama kipimo cha uwezo wao wa kusoma. Watakaji kwa bidii na kwa mwongozo wa walimu wawili wamepita makaratasi ya mtihani. Tulikuwa na mafanikiyo kubwa katika somo la Hesabu lakini wachache wameona ugumu ya mtihani ya Kiingereza kwa namna ya pekee katika kutofawtisha rangi. Baada ya masaa mawili wanafunzi wamemaliza mtihani na wamepata soda na biskuti na wamerudi kwa wazazi wao nje ya darasa.
Mwanzo mzuri. Tunakaribisha watoto wengine kujiunga na shule letu na wafanye mtihani tarehe 8 Disemba 2007.
Uangalie picha za mtihani huo!