Tarehe 20/03/2009 katika parokia yetu ya Poli Sing'isi tulikuwa na ibada ya Njia ya Msalaba. Siku hii ilikuwa tofauti kidogo kwa sababu tulifanya ibada yetu nje ya kanisa si ndani kama kawaida. Tulianza darajani la Mt. Antoni lililo chini zaidi kuliko kanisa lenyewe lakini si mbali na kanisa. Usome zaidi...
Kuanzishwa kwa Kituo cha elimu ya msingi ya Mt. Maksimiliano
Kituo cha Mt. Maksimiliano (St Maximilian Education Centre), Dar es Salaam, kilianza shughuli zake rasmi mwezi wa kwanza mwaka 2008. Kituo hiki zimeanzishwa na familia moja kutoka Parokia ya Segerea na shirika la Ndugu Wadogo Wafransisko Wakonventuali na kinatarajia kuendesha shughuli za shule ya msingi na sekondari. Usome zaidi...
Mtihani wa 1 wa Shule ya Mt. Maksimiliano, Segerea
Jumamosi, tarehe 17 Novemba 2007, watoto 37 ambao wanataka kujiunga na Shule ya Mt. Maximilano wamefania mtihai yao wa kuingia Darasa la kwanza. Somo la Hesabu na Kingereza tumetumia kamo kipimo wa uwezo yao ya kusoma. Watakaji kwa bidii na kwa uongozi ya walimu wawili wamepita makaratasi ya mtihami. Usome zaidi...
St. Maximilian Education Center in Dar es Salaam
Conventual Franciscan Friars have been involved in pastoral and social activities of the Archdioceses of Dar es Salaam, Tanzania since 1998.
With the passing of the time taking into consideration rapidly developing city of Dar es Salaam and ever increasing population, the initiate has been taken to establish parish and outstation in order to provide pastoral care for the faithful.
At the same time taking into consideration need of assisting society with care taken of the children, St. Anthony of Padua Kindergarten has been build with the contribution of the local Christian community and help of the Caritas Antoniana. Read more...
Matembezi ya hisani - Segerea
Jumamosi, tarehe 22 IX 2007 Matembezi ya Hisani yaliongozwa na Mwadhama Cardinali Policarp Pengo katika parokia ya Roho Mtakatifu Segerea-Dar es Salaam. Madhumuni ya matembezi ni kuchangia ujenzi wa kanisa la Segerea awamu ya tatu. Usome zaidi...
Unajisikia Kuitwa?
Pichani ni vijana wapostulanti wa shirika letu ambao wako katika chuo cha malezi Arusha. Watano kati yao ni Wakenya, na moja ni kutoka Burkinafaso, Afrika Magharibi. Hapa wanaonekana wakitumbuiza wageni na wazazi wa masista wa shirika la Mt Vincenti Palloti walioweka nadhiri yao ya kwanza katika maisha ya kitawa, tarehe 06.01.2007.
Usome zaidi...
Uzinduzi ya nyumba mpya katika Morogoro
Tarehe 2 Decemba 2006 tulikuwa na sherehe ya uzinduzi ya nyumba mpya kwa ajili ya malezi katika Morogoro. Nyumba hii ni nyumba ya nne ya shirika letu hapa Tanzania.
Tafadhali angalia picha za sherehe hii.
Mungu mkuu na mtukufu,
angaza moyo wangu na unijalie imani ya kweli,
matumaini thabiti na mapendo kamili.
Bwana, unipe busara na ufahamu,
ili nitimize maagizo yako matakatifu na ya kweli. Amina.
(Sala ya Mt. Fransisko mbele ya Msalaba)